Mu gihe hari abamubona nk'umuntu w'amahane, Perezida Samia Suluhu Hassan aboneka ko ashaka umwumvikano ... y'abiri uwahoze ari umukuru w'igihugu ca Tanzania, John Magufuli ashengeye ku myaka ...
Mwenyekiti wa Mama Ongea na Mwanao, Steve Mengele maarufu Steve Nyerere, amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mafanikio makubwa ya sekta ya utalii, ikiwemo ...
Rais Samia Suluhu Hassan ameweka historia kwa kuwa mwanamke wa kwanza kuwa rais wa Tanzania.hatua hiyo inafuatia kifo cha ghafla cha mtangulizi wake John Pombe Magufuli, mwezi Machi mwaka huu.
BUNGE limempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Nishati Afrika (Mission 300) Mwaka 2025 kwamba, umeiletea sifa ya kipekee Tanzania na kutaja namna Watanzania walivyonufaika ...
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameteuliwa kwa kauli moja na wajumbe wa chama cha mapinduzi CCM kupeperusha bendera ya chama hicho wakati wa uchaguzi mkuu mwezi Oktoba. Tunachambua hatua hii.