NAIROBI, Kenya - Bunge la Seneti nchini Kenya limepiga kura kumuondoa kazini Naibu Rais wa Taifa hilo, Rigathi Gachagua.
BUNGE la Seneti leo Alhamis limeppiga kura kuendelea na kesi ya kumuondoa Naibu Rais Rigathi Gachagua bila yeye kuwepo ...
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali inaendelea kutekeleza wa mpango mkakati wa miaka mitano wa anga za juu ...
SERIKALI imeahidi kuweka mikakati mbalimbali katika kuhakikisha sekta ya kuku na ndege wafugwao inakua na kuchangia zaidi ...
WIZARA ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi inakuja na mpango wa uendelezaji upya eneo la Sinza jijini Dar es Salaam (Sinza ...
MAHAKAMA ya Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu imemkuta na kesi ya kujibu mwalimu Subiri Edson,37, wa shule ya Sekondari Nguno ...
DAKTARI bingwa bobezi wa magonjwa ya mfumo wa fahamu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila, Dk Mohamed Mnacho amesema ...
Mapigano kati ya vikosi vya Shirikisho vya Ethiopia na wanamgambo kaskazini mwa magharibi nchini humo yanaweza kuleta athari ...
WAKULIMA wa Korosho Mkoa wa Mtwara na Lindi wameingiza kiasi cha zaidi ya Sh bilioni 143 fedha iliyotokana na mauzo ya tani ...
WAKULIMA wa Korosho Mkoa wa Mtwara na Lindi wameingiza kiasi cha zaidi ya Sh bilioni 143 fedha iliyotokana na mauzo ya tani ...
WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema serikali inakusuia kuanzisha Wakala wa Ugani utakaowasimamia maofisa wa ugani nchini ...
NAIBU Rais wa Kenya, Rigath Gachagua amewahishwa hospitali mara baada ya kuumwa gafla wakati Bunge la Seneti likitarajia ...