Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) siku ya Jumapili, Januari 19, kwa kauli moja wamemteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa ...
BUNGE limempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Nishati Afrika (Mission 300) Mwaka 2025 kwamba, umeiletea sifa ya kipekee Tanzania na kutaja namna Watanzania walivyonufaika ...
Mwenyekiti wa Mama Ongea na Mwanao, Steve Mengele maarufu Steve Nyerere, amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mafanikio makubwa ya sekta ya utalii, ikiwemo ...
Rais Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Dk. Tedros Adhanom ...
Umugambwe uri ku butegetsi muri Tanzania, CCM, waraye wemeje Perezida Samia Suluhu Hassan kugira ngo azowuserukire mu matora ...
RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuvunja na kuandika rekodi ya kuwa Rais aliyepokea idadi kubwa ya Wakuu wa Nchi (35) ...
Rais Samia Suluhu Hassan ametaja mikakati minne itakayowezesha kuongeza upatikanaji wa nishati ya umeme barani Afrika ifikapo ...
Rais Samia Suluhu Hassan leo Alhamisi Januari 30, 2025 amekula chakula cha mchana pamoja na walioshiriki uokoaji katika jengo ...
Hii leo, baadhi ya wajumbe waliokuwa wakitoa michango yao juu ya utekelezwaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM walipendekeza ...
Ameagiza uongozi wa mamlaka hiyo kufuatilia mienendo hiyo na kuchukua hatua haraka kwa watumishi wachache wanaotengeneza ...
Picha: Ikulu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizundua jengo la stesheni ya SGR 01 Agosti, 2024. Picha: Ikulu Rais Dk. Samia Suluhu Hassan akikata utepe ...
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameteuliwa kwa kauli moja na wajumbe wa chama cha mapinduzi CCM kupeperusha bendera ya chama hicho wakati wa uchaguzi mkuu mwezi Oktoba. Tunachambua hatua hii.